SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #592 03-03-2023 05:04:53
Question Icon

Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?

JIBU

Imamu shafii amesemankuwa jambo hilo linatenguwa udhu. Amesema haya kwa kuangalia aya inayilazimisha watu kutawasha baada ya kugusa mwanamke. 

Hata hivyo maulamaa wengi wamesema kuwa jambo hilo halitengui udhu. Ibn abbas na Masahaba wengine kama Ally bin Abi Talib pia wapo kwenye msimamo huu wa kuwa hakutengui udhu. 


Katika kuzungumzia aya unavyotaka watu kutawadha baada ya kugusa mwanamke wamesema makusudio ya aya bi kufanya jimai.

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi