Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?
Imamu shafii amesemankuwa jambo hilo linatenguwa udhu. Amesema haya kwa kuangalia aya inayilazimisha watu kutawasha baada ya kugusa mwanamke.
Hata hivyo maulamaa wengi wamesema kuwa jambo hilo halitengui udhu. Ibn abbas na Masahaba wengine kama Ally bin Abi Talib pia wapo kwenye msimamo huu wa kuwa hakutengui udhu.
Katika kuzungumzia aya unavyotaka watu kutawadha baada ya kugusa mwanamke wamesema makusudio ya aya bi kufanya jimai.