Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Yakiwa na harufu ama yanawasha ama yana rangi ya kijani ni ishara ya ugonjwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nimetumia dawa mefloquine Leo siku ya 5 naona mwili unapata joto nakichwa kuuma.nn sababu
Kufany kwa vijibu ambavo huwasha katika eneo la mbele la uume ni tatizo gani
Na mikojo kubadilika rangi kua yellow inauwezekano ikawa ni mimba au la?
Na je Kuna complication gan anazopata mtyu akitoa ujauzito wa wiki mbili
Nimesoma habari Google kuhusu ukimwi je mtu akipata maambukizi Leo kwenye kipimo cha HIV huanza kuonekana kwa mdagani
samahani mimi nimeingia piriod tarehe 2 mwezi huu na nimemaliza rarehe 9 je mzunguko wangu ni wa siku ngapi?na siku zangu za hatari ni zip? asante