Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Yakiwa na harufu ama yanawasha ama yana rangi ya kijani ni ishara ya ugonjwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba
Nina tatizo LA kusahau mm niwakiume
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie
Mimi nina uti ambayo aiponi inajirdia rudia sasa sielew shida nn au nitumie dawa gan nina kama miez sita sasa naumwa uti naccki hari yeyote mbya wala dalili zozote mlizozitaja ila uti ninayo
Dalili za kisukari ni zipi?
Kama nimeingia period trh 16 na kumaliz trh20 nikishirik tendon la ndoa trh27 au 28;29 nawez pata mimba