Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Yakiwa na harufu ama yanawasha ama yana rangi ya kijani ni ishara ya ugonjwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je, keloids husababishwa na upungufu wa vitamin D na njia ya kutibu au kuondoa keloids Ni zipi
Samahan naomba kuuliza mimi huwa kabla ya hedhi napata maumivu ya tumbo maumivu hayo yanaweza kuwa ya siku moja Ila siku ambayo hedhi itatoka napata maumivu makali mno na maumivu hayo yatadumu Hadi hedhi ikate na inapelekea mguu wa kushoto kuwa kama unakufa gannzi.naomba nisaidie ni nini hiki?
Na jihisi kichefuchefu na ubongo kuhuma na mwilini moto na shingo kuhuma pia, Naomba unisaidi baba
Naulisa ukiwa unakunyua pombe unawesa ambukizwa ukimwi .
Hello ukiwa umelala na mtu alafu condom ikapasuka gafla ukatoa apo kwa apo je unaeza athirika na ugonjwa
Samahan unaweza kuuamini vip Kama una ujauzito