Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Yakiwa na harufu ama yanawasha ama yana rangi ya kijani ni ishara ya ugonjwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari vipi unaweza kupata siku zako na ukawa na ujauzito kwa wiki za mwanzo kabla hata haujafika mwezi
Mtoto wangu nilimzaa akiwa na low birth weight na huku akawa na tundu kwenye moyo na mshipa unaosambaza damu safi uko intact sasa nimekua na hofu kidogo sababu kaumbo Jake ni kadogo viguu vyembamba na vimikono nikawa na wasiwasi
Niko na vitu kama upele kwa makwapa je shida inaeza kua nini
Kwahyo kumbe mtume Muhammad, alifiwa na mama yake akiwa na miaka 6?? Nani sasa akamlea baada ya kufiwa na mama Ake?
Je izo protine poda za mazoezi zina mazara kiafya?
Je? Sababu inakua ni nin mpaka mimba inafikia mie mitat inatoka