Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa
Yakiwa na harufu ama yanawasha ama yana rangi ya kijani ni ishara ya ugonjwa
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
UNAWEZA KUPIMA VVU MAJIBU YAKAWA NEGATIVE HUKU UMESHAAMBUKIZWA TEYARI?
Mimi naitwa samson.Nilikuwa nakuomba unisaidie kazi za vitamin zote, a b,c d e k
Nina umr wa miak 26 jinsia yangu y kiume swar langu nilikuwa natak kufaamu mpez wangu Kila nkimwnglia anais maumvu kwenye uke wake mpak nampelekea kumchubua
Hi..dalili ya kukohoa zaid ya wk mbili kwa mwenye kifua kikuu husababisha na nn
Habari hongera kwa majukumu naomba msaada kwa mtu mwenye saratani ya shingo ya uzazi atumie vyakula gani
Mimi ninapata maumivu kama tumbo la hedhi ila ni upande wa kushoto ,na nimaumivu makali japo ninayapata mara chache?shida sijaifahamu