Pata jibu kamili kuhusu swali lako
UNAWEZA KUPIMA VVU MAJIBU YAKAWA NEGATIVE HUKU UMESHAAMBUKIZWA TEYARI?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 178
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Muda wa kujifungua umefika na Kuna dalili za damu ukeni je no dalili moja wapo ya uchungu
Tatizo la kutokwa na maji maji mepesi meupe yasiyo na harufu ukeni kama maziwa ni dalili ya ugonjwa gani?
Nawashwa sana sehem za siri pia napata maumiz sana wakat wa tendo had napomalza kwenda haja nlpta kwenye page yenu ndo nmeona kwamba n dalili za fungus
Hata mzunguko wangu haujulkan n wa sku ngp yan hata hazkai mpanglio mzur
Na hapo nikimaliza period huwa naamin kwamba nabanwa na pad yn huwa nawashwa had natumiaga maji ya vuguvugu ndo kdg naacha kujkuna
Hi Nauliza mke wangu alitokwa na ujauzito mwezi was kumi mwaka Jana mpaka sai haja shika ingine shida inaweza kua nini
Nina miaka 29 mi Ni mwanaume swali langu nliumwa vidonda vya tumbo soon nkatbiw lkn mdomo kweny lips zinakauka Mara kwa Mara j Inaweza kua n viashiria gan???????? Pli j unawez kusex n mtu mwathiriak hlf usipate maambukiz??
Swali langu ni kula papai change lkn Nika chemshwa lika iva je hakuna mazara. Lapili huwa napata Mau mivu San chin ya kitovu nikiwa nafanya pirik zangu za Kaz