Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unaweza kufungua blogger bila ya kununua domain
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1037
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nin swali naomba msaada nafnya app ya spring boot hapa as backend ila nikipelek data zangu ktk database zinaingia ni null shida ni k2 gn
kuna tofauti Kati ya website na blog 2.afu iyo app ya tabedit inatumika Ku edit code kweny Sim au hata Kama unatumia PC unaweza kutumia iyo app ???
Habari zenu wakubwa
Kwa application kama hizi za kujisomea zile notes zinakua uploaded kwa njia gani??
Natka nitengeneze mobile app ya kujisomea ila sijajua nianze vipi naomba msaada wenu
Language ni javascript
Kiongozi kuna program yenye uwezo wa kutengeneza OBB kutoka kwenye apk ?
Kwema mkuu, Naomba Namna ya kufahamu au kujuah vitu baada ya kutengeneza blog. Kama ku edit katika blog na copy matangazo kwenye Facebook, YouTube, Instagram hadi kwenye blogs
Je plugin ni nini