Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Unaweza kufungua blogger bila ya kununua domain
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1037
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nin swali naomba msaada nafnya app ya spring boot hapa as backend ila nikipelek data zangu ktk database zinaingia ni null shida ni k2 gn
Hellow habari naomba nisaidie kuslove tatizo hili kwenye MacBook laptop nilitaka kuadd wifi nilienda kwenye icon ya wifi then naenda kwenye network preference Niki click tu inaniletea preference error "there was an error in network preference" Sasa nimejaribu kurestart laptop lakini bado hiyo error haijatoka naomba kusaidiwa .
Discor ni nini na inafanyaje kazi
kuna tofauti Kati ya website na blog 2.afu iyo app ya tabedit inatumika Ku edit code kweny Sim au hata Kama unatumia PC unaweza kutumia iyo app ???
Anaejua jinsi ya kutuma sms isiyo na namba ya simu kwa mfano sms ya. M pesa inavokua. Nani anajua
Nimepata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa tendo na baada ya tendo la ndoa nikapata nafasi ya kupitia makala kadhaa katika blog yako ... Naomba unisaidie ni namna gani ntaepukana na maumiv haya?