Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 733
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je ukijitwaharisha usiku alaf uamke kuswali asubuh utoke na vitone vya damu je inaswihi kuswali au hadi ujitwaharishe upya?
Doctor napatwa na maumivuu upande wa kulia na hedhi inatoka matone tu
Habar doctor mimi ninatumia dawa za pressure 2 years sasa lakn 2023 hii moyo unanienda mbio natembea kidogo tu lakn moyo unanienda ressi sana had nipumzkeee ndo nakaa sawa hata kushuka kitandan kwenda choon naskia hivyo nawa kma mtu aliyekimbia sana had nipumzke ndo nakuwa sawa naomba unisaidie
Mimi ni mwanamke na miaka20 je naweza pata mimba bila kuona ute
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Je izo protine poda za mazoezi zina mazara kiafya?