Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni siku ya tatu Leo Kila nikikojoa, mwishoni damu inatoka kwa nini?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 601
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mkuu habari za majukum nilikua nasoma habari juu ya kiungulia na kimenisumbua sana leo siku ya sita nahitaji tiba yake na uniambie kinasababishwa na Nini
Habari Mimi tumbo linauma upande wa kulia ila tumbo linajaaa gesa na kukojoa kila saaa Kuna mda linau ila nikitoa hewa tuu linaachia na maumivu yanapungua sijui shida itakua ni nini
Za leo mpedwa mm na tatizo la kutoshika mmb
Habari, ninauauzito wa wiki3 lakini napatwa na maumivumakali chini ya tumbo nakiuno pia nikichuchumaa kupata ajandogo natokwa damu, nikijilaza aitoki naomba ushauri nifanyeje mwanangu akuesalam!
Asalam aykum naomba kufahamu swala ya tahajul inasoma sura yoyote
Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???