Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Chanzo cha presha Ni nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 203
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba
Je unawezaa kutokaaa maji maji meupee na kiuno kumaa nakuachiaa ni dalili za kujifungu pia ama mtoto anageukaa tu
Naweza kua na upunguf wa nguv za kiume na nikshilik naenda muda mlef mpak mwenzangu anasema anechok wakat mm sijajua haj yang?
Habari pole na majukumu kuna kipindi nilianza kuumwa chini ya kitovu nikaambiwa nina uvimbe nikapewa dawa nikamaliza dose lkn nikawa napata maumivu lkn sio ya kila siku hethi kuvurugika ovyo maumivu makali kipind cha heth nikawa natumia tu dawa za maumivu
Sasa saivi naskia kitu kinacheza tumboni chini ya kitovu na mda mwingine kama kinavutaa nikienda kukojoa naskia maumivu kama kitu kinashuka chini mda mwingine maumivu ya tumbo kama vichomi
Na tumbo lng linaumuka
Je! Mimba ya week moja inaweza kuonekan kwa kutumia kipimo
Ninasumbukiwa na uvimbe wa titi nitajuaje kama uvimbe ni wakaida na nimda gani nikae ili nikamuone doctor?