Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Chanzo cha presha Ni nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 203
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
Natokwa na majimaji ukeni masafi hayana harufu yeyote lakin Kuna mda yanaweza yakatoka mengi kidogo kiasi Cha kulowesha chupi mpaka taiti
Ni tatizo Gani hili? Kwa sasa ni siku ya nne tangia nilione tatizo hili na lilianza mara tu baada ya kukutana kimwili na mwanaume
Je anaweza hisi ungumu pemben ya tumbo na maumivu kuzunguka kitovu
Kuna mwanamke nimetembea nae na inasadikiwa ameathirika na ukimwi. Sasa niliposoma kwenye makala yako pale google ukielezea dalili za hawali sijaziona na nilitembea nae mara 2 na ni mwezi 11 mwishoni
Smhn ugonjwa wa ukimwi unawez kuambukizwa kutkn na mate
ninapresha ya kushuka je inasababisha kooni kubana