Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Chanzo cha presha Ni nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 203
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nasikia dalili ya kuumwa Tumbo Kwa chini upande kushito, mäumivu yanafika mpaka nyingani
Kwa mfano hukushiriki tendo la ndoa lakini ukaja unaingia manii au izo mbegu za kiume kwa bahati mbay je kuna uwezekano wa kupata mimba?
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
me niliwahi kukutana na msichana wiki kama tatu hiv zilizopita sasa baada ya hapo nikawa na wasiwasi coz nasikia mwili unawasha mara kwa mara sijajua shida ni nini labda waweza jua shida ni nn?
ona Dokta tumbo linajaa halafu naona kizungu zungu halafu nahisi kama kunakitu kinatembea tumboni lakini nimezuia kublid. kama mwezi mmoja t je nikitu gani
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.