Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swali langu ni kwamba kiungulia linaweza sababisha Kansas ya Koo?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1047
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Doctor napatwa na maumivuu upande wa kulia na hedhi inatoka matone tu
Je, keloids husababishwa na upungufu wa vitamin D na njia ya kutibu au kuondoa keloids Ni zipi
Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo
Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia
Mm nimjamzito wa miezi 6 kasoro lakini ninaahida napata maumivu ya nyonga,kiuno na uke unakuwa unavuta na maumivu
je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi
Mama mjamzito anatakiwa kufanya mapenzi mpaka miezi mingapi