Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za kisukari ni zipi?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina umri wa miaka 23 ni msichana mm naomb msaada nilisex baada ya kusex nikakaa kama siku mbili nikaingia period xiku 4 nikatoka nikakaa kama xiku 4 nikasex tena je naeza kupata naeweza kupata mimba
Nilikuwa natumia uzazi wa mpango baada ya mwaka mmoja nikatoa na baada ya kutoa nikapata hedhi siku 5 na baada ya wiki moja nikakutana na mwanaume unaweza ukapata ujauzito?
Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?
Hlw me kujuwa nilipima nyumbani mimba baada kukosa siku zangu kwa miezi 2 na niumwa hivyo majibu yakaja hivi. Je dr naomba unisaidie ni mimba ?
Side effects za kula ukwaju ni zipi..?
Kuna uwezekano wa mtu kubeba mimba ilihali anatumia (majila)sindano za kuzuia kupata ujauzito