Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Dalili za kisukari ni zipi?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Ni nini kinachosababisha upungufu wa damu?
Mimi maziwa yalikuwa yanauma ndani ya siku 7 siku ya 13 nimeona damu je.ninamimba
Je baada ya kugundulika na malaria ,ukianza kutumia dozi hukiwa unaharisha kunakoma baada ya muda gani?
Asante samahan naomba kuuliza kama majimji takiwa yana Toka ukeni nayo pia ni ugonjwa