SWALI

Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba


Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba

Swali No. 435




JIBU

Uislamu unatufuunfisha kuwa yupo kwenye makosa yule anayedai riba, anayetoa riba,  anayepokea riba,  anayeandika mikataba ya riba ama deni la riba na anayeshuhudia. 

 

Kama upo kwenye ofisi ambayo hasa lengo lake ni kujihusisha na mikopo ya tiba,  basi utakuwa kwenye makosa. 

Allah anajuwa zaidi. 



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 21-02-2023-12:08:44 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA