SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #435 21-02-2023 12:08:44

<p>Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba</p> <p><br /> Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba</p>

JIBU

Uislamu unatufuunfisha kuwa yupo kwenye makosa yule anayedai riba, anayetoa riba,  anayepokea riba,  anayeandika mikataba ya riba ama deni la riba na anayeshuhudia. 

 

Kama upo kwenye ofisi ambayo hasa lengo lake ni kujihusisha na mikopo ya tiba,  basi utakuwa kwenye makosa. 

Allah anajuwa zaidi. 

MASWALI YANAYOFANANA