Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 731
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
Nataka mafunzo ya swala ya ijumaa
Swali kangu ni: Je Mwanamke mwenye heidh aweza kushika msahafu?
Naomba kueleweshwa jinsi ya kuswali taraweehe na jinsi ya kunuia maana naswli nyumbani
Mm na tanataka kujenga nyumba kama ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam ❤️. Je nitapataje ramani ya nyumba ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?