Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 731
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
Kwema, je hii swala ya dhuha nitaiswalije au hatua zake zikoje kipindi cha kuswali hii swala
Assalaam alaykum...mimi nauliza endapo mmeshazaa mtoto na we mwanamke ukadai talaka je mwanaume ana haki ya kudai mahari yake ingawa umeshazaa nae?
Mke wangu aliingia siku zake tar 13 mwezi huu,amemaliza tar 17 msaada ni ipi siku ya kushika ujauzito? Ahsante.
Mume kampa talaka mkewe baada ya siku mbili tatu mume kamuhitaji mtalaka wake na wakakutana wakafanya yao, lakini hajamtamkia kama kamrejea, je hapa atakua kashamrejea au amezini nae?*