Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Aesalam alaykum je kur an imeshushwa kwa mudagan
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1192
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali kwenye swala ya msafiri uyu mtu anasafiri uelekeo tofauti na kibla ataswali ivyoivyo
Nabii lut alikwenda wapi baada ya gharika
Samahn mwalim naomba unisaidie aina Saba za usomaji wa Quran
Taja aina saba za usomaji na mashehe wake na nchi zake kabla ya kuhifadhiwa quran katk msahafu lakwanza ilo
Ukitaka kujifanza Quran kwe njia yacm Ina wezekana
Mimi ni mwanamke wa miaka 25..Nilikuwa nina kipindi kirefu kama miaka 3..Sijafanya mapenzi..Sasa baada ya kufanya wakati siku naingia Kwenye siku zangu nilipata maumivu makali sana ambayo kabla sikuwa nayo..Lakini pia nimeanza kupata maumivu ya chini ya kitovu na kiuno ambapo inaambatana na gesi wakat mwingine hadi kichwa kinauma na misuli ya miguuni..Naomba unisaidie shida ni nini?
Assalaam Alaykum,namna yakutoa talaka ya tatu na taratibu zake