Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Neno kusai lina maana gani katika hijja?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 929
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
Assalamualaikum naomba kujua vigez vinavyofanan vya uhakiki wa hadithi, vya imamu bukhar na muslim
Assalaam a'laykum warahmatullãhi wabarakaatuh! Shaikh nauliza; ivi inawezekana mke kuslimu na kufunga ndoa ya kiislam siku hiyo?hiyo
Asalaam alyka kwan saa mbli (insha) ina laka ngap
Naomba kuuliza,, mwanamke akitolewa barua ya posa na maari na mwanaume ambae siyo muislam na amemzalisha watoto,akitokea mwanaume wa kiislam akihitaji kumuoa kisheria kidini ya kiislam, je.utaratibu ukoje?
Asalam alaykum nataman kujua zaidi kuhusu kisimamo Cha usiku