Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Neno kusai lina maana gani katika hijja?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 929
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mjane akiacha Mali halafu akawa Ameacha watoto wa Tano mmoja mwislam wengine wakristo na mjane alikuwa mwislam, swali langu Hawa watoto ambao ni wakristo Wana haki ya kumrithi mama Yao? Naomba unisaidie majibu pamoja na kifungu kitakacho patikana juu ya jibu lako. Asante
Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana
Bilali alikkuwa swahaba wa kipind Cha Nabii Gani?
Niipi hukmu yamtu mwenye kuacha swala pasi na udhuru wowote?
Je vp Kwa mfano mtu katia nia yakuhij lakini kufikiya hile sku ya kuhiji akapoteza maisha je mtu huyo ataesabiwa vp
Taja watu watano ambao uislamu umewakataza kuwapa maji. Pindi ambapo maji hayo yamewekwa kutiliwa udhu