Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kitugani kilicho pelekea wakati wa tabiin kuandikwa hadithi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 351
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assalaam Alaykum,namna yakutoa talaka ya tatu na taratibu zake
Je km mtu aliishi miaka mingi bila kufunga na anamke wake halali wakati wakiishi walikuwa wanafanya matendo yote ikiwemo kujamiiana kipindi chote cha ramadhan kwa mda wowote iwe Asubuhi au mchana Sasa wameamua waanze kufunga swaum je Hawa watu watahusika na ile hukumu ya kufunga siku 60 mfurulizo? Au kuzilipa zile ramadhan walizo ziacha huko nyuma?
Nilikuwa nauliza kama hujafunga ndoa unaluhusiwa kuswali swala tano
Je? Hawa waislam waliofunga Katie lipinski cha mwezi waradhan na wako na wake ambao hawajafunga nao ndoa japo wamekaa nakuzaa watoto zaid ya watatu je funga hizi zinaswihi?
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?
Assalam alaykum shekhe naomba kuuliza ikiwa mke amefariki amewacha mume tu na Hana ndugu Wala watoto wa kumrithi ni mume tu je mume anapata nusu ile ile au anarithi Mali yote?