Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ikiwa umepima mara kadha hamna majibu hapo unakuwa hauna au?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 13
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
Namna ya kugunduwa kuwa mwanamke yupo kwenye siku hatari
Majimaji yanayoambatana na maumivu ya tumbo la chini
Hv ukiwa unatumia dawa ya salbuta inaweza sababisha milio sikioni
Naomba msaada mm nahisi kichefuchefu na sitapiki mdomoni mate machungu na kichwa kinauma je xhida ni nn na mimba sina