SWALI

Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina  wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn

Swali No. 257


JIBU
Samahani Jbu la swali hili Limehifadhiwa. Nicheki Whats App upte majibu ya swali hili.
Nicheki WhatsApp Bofya hapa(Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 257 )

Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 10-02-2023-08:20:39 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA