SWALI

Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo

 

Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia

Swali No. 1252


JIBU
Samahani Jbu la swali hili Limehifadhiwa. Nicheki Whats App upte majibu ya swali hili.
Nicheki WhatsApp Bofya hapa(Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1252 )

Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 21-05-2023-13:51:27 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA