Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto
Mafuta yanazuia hewa isiingie ndani na jambo hili sio salama kwa upinzani wa kidonda.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je? Unaweza kupata ujauzito pindi umejamiana ukiwa siku salama. Kabla ya sku tatu kupata hedhi?
Mm nilienda nilifanya ngono siku ya Saba je nimjamzito
Samahan me nilikua natumia kidonge cha kuzuia mimba lakin juiz nimekutana na mwanaume kabla ya cku za dawa kuisha ila nahic kama hali ya mimba lakin sijapima
Me moyo unaendag mbio halaf kooni nakuwa kama kuna kitu kimeban mpk kweny kifua
Je ukinywa vidonge vya vitamin E unaweza kunenepa
Jinsia ya kiume na umri wa 24. Je mwanamke akivusha siku zake mpaka miezi miwili baada ya hedhi nikikutana nae tufanye siku ya60 baada ya kupata hedhi. Je anaweza pata ujauzito nikikutana nae?