Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto
Mafuta yanazuia hewa isiingie ndani na jambo hili sio salama kwa upinzani wa kidonda.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ok shida yangu nikwamba nasikia maumivu makali tumbo la chini na mpaka kwenye mishipa ya korodani na kwenye nyonga pia kichwa kinauma
Samahan mm napata maumivu baada ya kumarza tendo randoa shda inakuwa nn hasa pia ume wangu unasima kidogo unakuwa meregea hauwi mgum ashda nn hasa
Habari Nina mtoto ana miaka 6 macho yake sehe mu nyeupe yabadiri Rangi kuwa kahawia ....nifanyeje?
Unaweza kupata virusi bila kujamiiyana
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Huwa nikiamka asubuh nakuwa n maumivu makali sn y kichw mgongn unauma San nachoka sanaa ata usingz uishii nachokaa sanaa