Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto
Mafuta yanazuia hewa isiingie ndani na jambo hili sio salama kwa upinzani wa kidonda.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Na vipi inawezekana mwanamke kuingia kwenye siku zake bila ku bleed damu? Yaani asione dalili yoyote?
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Mdomo Wangu Unabadilika Langi Na Nikipiga Mswaki Fizi Inatoa Damu
Je kwa wiki ya Kwanzaa na ya pili ya ujauzito ni lazma kutokwa na majimaji au ute uken na je implantation bleeding ni lazima? Na inatokea kipind cha mda gani cha ujauzito
Jee mwanamke anayewashwa kwenye ukee.na yuko wiki ya 37 ni dalili za kujifungua?
je? kunawa au kujifuta mbegu kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa kunaweza kuwa tatizo la kupata mimba.