Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni nini kinachosababisha upungufu wa damu?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Muda wa kujifungua umefika na Kuna dalili za damu ukeni je no dalili moja wapo ya uchungu
Swali langu ni, ovarian cyst ya cm10 inaweza kupona kwa dawa au ni lazima operation, kama inaweza kupona kwa dawa bac naomba kujua ni dawa gani inaweza kutibu,
Hivi kutokwa na maji maji kwenye uume ni tatizo gan
Mimi ni muhanga wa uvimbe kwenye titi na ninanyonyesha
Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo
Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia
Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba