Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni nini kinachosababisha upungufu wa damu?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar dogta nimeskulu sana kwa ushauri wako naelimu.tosha ila kuna swali nipenda kujiuliza kila siku kunawatu malanyingi wakina mama wanapenda kuwanaipele kwenye mkono zilenidalili za ukimwi au vinatokana na mazingira?
Nauliza docter katika matunda haya yote pamoja na mbegu sijaona binzari manjano pamoja na mbegu za mastaferi kaziyake na mbegu za ukwaju ahsante sana docter kwa darasa lako mwenyezimungu atawalipa
Nifanyeje ili mimba ikue haraka
Ila nasikia maumivu ya kichwa mara kwa mara
Dalili za kubeba mtoto wa kiume tumboni
Samahani Mimi namahusiano na mtu anaetumia dawa za vviu mimi cina je nisipotumia kiga na pakawepo na msunguano nawezakupata maambukizi