Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan jaman ninaomba ushaur ukimw uonekana kwamacho
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1162
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk
Dawa ya benpham kwa mtoto wa mwaka 1na nusu anaweza tumia anadalili zote za minyoo
Habari,,naomba kukuuliza nimetumia Kinga ya kijit Cha miak mitatu,, Ila nimechelewa kikitowa na mara ya mwisho kuona hedhi ni tarh 4 mwez wa pili na natumikaga mpaka cku kumi na mbili ndo anakat Sasa tok hapo cjapat Tena inawezekan nikapata ujauzito ikiwa bado Nina Kinga ambaayo bado cjaitowa na imeisha muda wake? ahsantee
Samahan kwa usumbuf naomba ushauri wenu mimi nina ujauzito wa wiki 37 ila tumbo linaniuma kiuno kinauma natapika maji machungu chuchu zinauma kwenye magoti na kwenye uti wa mgongo naomba ushauri yote haya yana sababishwa na nn samahan kwa usumbuf lkn🙏🙏
Samahani naomba kuuliza je kama mwanamke huendi mwenzini ila uteute wa damu ukiwa unana unatoka uwezekano wa kupata mimba upo
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu