Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan jaman ninaomba ushaur ukimw uonekana kwamacho
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1162
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Pia Kuna uwezekano mwanamke kua na ujauzito pasipo discharge yaani kutokwa na damu
Ila nasikia maumivu ya kichwa mara kwa mara
Hv ukishiriki na mtu mwenye ukimwi waweza pata papo kwa papo
Nimejifungua Tarehe 21/02/2023 Mtoto Akiwa Kafa Muda Kama Wiki 3 Hivi Na Kazaliwa Haeleweki Ana 200gm Na Sura Hamna Ni Jinsia Tu Na Mimba Yangu Ilikua Ya Miezi 7 Tatizo Linaweza Kua Ni Nini? Na Nikae Muda Gani Niwe Tayali Kupata Ujauzito Tena?
Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni yapi
Habari za jion samahan nlikuwa nauliza maana mm period naingia tarehe 2 ila mpk leo sijaziona na nashikwa na kizunguzungu pia tumbo linakuwa linauma japo si kila mda pia nakua nahis kuna kitu kimekaa kwenye koo km kinataka kutoka ety itakuwa ni dalili ya mimba au?