Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nlikuw nnaswali vidonda vya tumbo pia vn virusi
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1268
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan me nilikua natumia kidonge cha kuzuia mimba lakin juiz nimekutana na mwanaume kabla ya cku za dawa kuisha ila nahic kama hali ya mimba lakin sijapima
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Naomba niulize natumia vidonge vya uzazi wa mpango ila nilisahau siku moja lakini sikushiliki siku hiyo nilikuja kushiki siku ijayo lakini nilikuwa nimekumbuka kumeza siku iyo je naweza nikawa na mimba
Nimesoma mtandaoni kuhusu kuvimba pumbu, mimi pumbu inavimba moja japo sina maumivu naweza kutumia dawa gani doctor
Hello,,Mimi nikishiriki tendo la DOA na boyfriend wangu na akanijulisha yakwaba ameshikwa na maumivu na Mimi akuna venye nasikia at a kidogo
Nikiwahi pata infection na nikatibiwa soo kumaanisha aijawagi pona ama nafaa nitumie dawa gani