">
Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninavimba uke na kuwashwa,je nkitmia vidonge viitwavyo " six vaginal tablets vitanisaidia???
Kuvimba na kuwashwa huwenda hiyo ni dalili ya kiwa na fangasi. Kwa kuwa hiyo ni dawa ya fangasi ni matumaini yangu kuwa dawa hizo zitakusaidia.