Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 314
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Unaweza kukaa siku ngapi baada ya kumaliza siku za hatari ili kupima ujauzito
Na wiki 36 ya ujauzito ila nasiku kama tano hivi na halisha na tumbo kuuma je niuchungu
Samahani mimi ni msichana wa umri miaka 21 mmoja wapo ninae sumbuliwa na maumivu hayo makali chini ya kitovu upande wa kushoto na wakati mwingine hupelekea maumivu hayo kwenye mguu upande huo nilikuwa na hitaji maelekezo zaidi kuhusu maumivu hayo na jinsi ya kuyatibia
Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.
Chanjo ya HPV inalinda dhidi ya nini?
Nahisi nina tezi dume. Nitawapataje kuweza kupata msaada?