Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 314
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari ndugu nina mtoto wa miezi5 ana tatizo la kukoroma lina miezi miwili sas kapatiwa tiba ila bado ana koroma tu dawa alizo tumia ndo Izo ila tatizo liko pale pale
Habari Mimi tumbo linauma upande wa kulia ila tumbo linajaaa gesa na kukojoa kila saaa Kuna mda linau ila nikitoa hewa tuu linaachia na maumivu yanapungua sijui shida itakua ni nini
Samahan mi nna vidonda vya tumbo nimesha tumia dawa ila nikipata nafuu kwa mda vinarudi tena kama mwanzo
Je kama umetoka kwenye siku za hedhi na hedhi hiyo ni siku tano halafu siku ya sita mtu akashiriki tendo la ndoa je mtu huyo anaweza pata ujauzito??
siku salama na siku hatari kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 28 ni zipi?
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt