Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 314
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuhala sana ndio dalili za mwanzo pia au mpaka ugojwa ukomae
Hello samahan iv tezi dume inaweza sababishwa na ngono zembe
Hellooo! Ndugu najihisi kuwa mpweke sana, kwani Huwa nahisi mm ni mgongwa wa ukimwi, lakini nikienda kupima naambiwa sio mgongwa, lakini dalili nationa kama ni kweli mm ni mgojwa, kwani afya niliyonayo Si sawa na afya yangu kabla ya miaka mitatu iliyopita, nifanyeje ndugu, naomba ushauri!
Nina miaka 49, mwanamke.nimeenda hospitari nimeambiwa na presha nimepewa vidonge ila bado miguu inauma sio kawaida wiki mbili zimepita naomba msaada nifanyeje
Kama mama mjamzito ana presha yake iko juu je atasaidiwa vipi ajifungue
Ahsante nimesoma makala Je! Michubuko huonekana kwa macho baada ya kufanya tendo la ndoa?