Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hbr......je kuhusu mkojo wa mama mjamzito unakuwa n rangi gan?? Asante
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 314
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nnajisikia tumbo kwa chini maumivi upande wa kushoto mda mwingine kama gumu hvi maumivi yanaenda hadi korodani upande wa kushoto na mshipa ule unaoshikilia korodani ya kushoto unaumaa hadi ngozi ya korodani inakuwa nyepesi hadi inanata kwenye mapaja
Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi
Samhn pia huwa nasumbuliwa na mgongoo Sana maeneo ya juu ya kiuno jee?? Tatzoo ni nn??
Assalamu Alaikum me natak kujua mpangilio wa kutia udhu
Juzi kuna bonge ya damu ilitoka kubwa kiasi fulan hadi nikaogopa ndo maana nikiwa natafuta msaada
Jamani mimi Nina wiki Sasa na tumbo linaniuma sana tena nahalisha,vip inaweza kuwa mimba