Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kisonono ni nini na kinaambukizwaje?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina miaka 23 nimefanya mapenzi siku ya pili baada ya kumaliza period lakini naona damu zinatoka ukeni sijui nini tatizo
Je mimba ya siku nane iaweza kuonekana kwenye kipimo cha mkojo?
Mimi Nina mimba ya miezi 5 lakini Nina tatizo la kutokwa na maji maji ukeni wakati mwingine na damu yenye mabonge mabonge kama mwezi mzima sasa
Je kuumwa na tumbo yaeza kuwa dalili moja wapo ya uchungu
najickia maumivu maumivu.. sanyingine nakuwa kam mkojo umenibana xn lkn hmn au unakuwa kidogo xn
Ukiwa umebeba ujauzito sikuile ya kwanza umefanya mimba ikaingia tumbo linauma?