Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kisonono ni nini na kinaambukizwaje?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mimi nikikojowa mkojo unakuwa njona pia kabla ya kukojowa nkiminya uume kunatoka kama usaha ila fangas kwenye ipo kwenye mbeg
Yes na ikitokea kwa bahati mbaya unafanya ngono na mtu wa virus afu kondom ikapasuka kuna asilimia kubwa ya kukuambukiza??
Bibi yangu amemaliza almost 2months hajapata cku yake ya hedhi na Hana mimba
Kujaa kwa mate mdomoni kunaxababixhwa na nn Na kujaa kwa ges 2mboni ni dalili ya nin
nina miaka 31 ni mwanamke pia nauliza mimi ni mjamzito ila napata maumiv sana juu ya tumbo piamwili unachoka sana na najihisi vibaya wakat wote
Hello nina swali? Na kwa mwanaume kuumwa na tumbo na kukosa hamu ya kula chakula baada ya tendo nini tatizo? Vyakula vya mafuta harufu yake inakufanya unatapika.