Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kisonono ni nini na kinaambukizwaje?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan naomba kujua wakat wa kukojoa matone ya mwanzo yanatoka na usaa kidogo hii Ni dalili ya ugonjwa gani?
Dalili za mimba zinazoonekana ukeni
Ninailo tatizo la fangasi ya koo nifanyeje
Naomba unisaidie nashida moja kweny koo nikila pipi au k2 chochote chenye sukar naskia kooo linakaauka itakuwa ni shida ya nn
Je nivizur kutumia dawa za kuzuia kutapika?
Majibu ya UPT yameonesha Nina ujauzito..ila utra sound inaonekana mji wa mimba ndani yake hamna mtt nashindwa kuelewa kiufupi nimechanganyikiwa..Naomba msaada wa hili tatizo