Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kisonono ni nini na kinaambukizwaje?
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm kuna dalili sizielewi na ninajisikia kichefuchefu mate kujaa mdomon napia naumwa kichwa bado sija elewa dalili hizi kiukweri naomba msaada
Ikiwa vipimo vya magonjwa ya zinaa vitafanyika kwa mwanamke hata kabla ya dalili kuonekana nje, majibu huonyesha maambukizi?
Unawezaje kujilnda navirus vyaukimw
Ukiwa na chunusi uso na mwili kuwasha pia sehemu za siri kuwasha after kukuwa na mtu akipimwa HIV after 6 week's hayo majibu inakuwa sawa ukitimia vipimo full medical check up
abali zamajukum kwann mungongo wang unauma alaf natumbo pia linauma linaka napia najisikia njaa mala kwamala et
Je ukifanya tendo la ndoa siku ya Kwanza kutoka kwenye siku zako, Unawez kupata mimba