Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 882
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
NAOMBA USINAIDIE MASHAGANZI ZAKE NA MTUME S,aw WALIKUWA WANGAPI NA MAJINA YAO WALIITWAJE??
Je Kama mtu hajawa na uwezo wakulipa hiyo zakatuli fitri swaumu yake haitopokelewa?
Assalam alaykoum warahmatullahi wabarakatuh,,,ni Nan anayeruhusiwa kufunga lkn atatoa fidia ya kulisha masikn mmoja kila cku
Mimi ni mwanamke wa miaka 25..Nilikuwa nina kipindi kirefu kama miaka 3..Sijafanya mapenzi..Sasa baada ya kufanya wakati siku naingia Kwenye siku zangu nilipata maumivu makali sana ambayo kabla sikuwa nayo..Lakini pia nimeanza kupata maumivu ya chini ya kitovu na kiuno ambapo inaambatana na gesi wakat mwingine hadi kichwa kinauma na misuli ya miguuni..Naomba unisaidie shida ni nini?
Kuna baadhi ya watu wanasema qur-an ni kiumbee na wengine wanasema cyo kiumbee ni upii usahihi
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?