Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 882
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwanin uislam unapinga kampen juu ya kudhibit uzazi
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Asalam alaykm naomba unipatie ushahid kuunganisha ya magharb na Ishaa kwa sababu ya mawingu
Nimeona darsa kidogo juu ya suala la talaka.swali langu ni je??..kama umempa talaka moja mkeo bila ya mashahidi waadilifu.je kuna tatizo katika uhalali wake??
Mimi ni Binti wa miaka 24 ,Niko na mchumba ila ni Wa dini nyingine yaan christian nimejaribu kumshawishi na Kwa kiasi Fulani anakaribia kuelewa juu ya uislam , swali langu ni kwamba ni Kwa namna gani naweza mshawishi zaidi na vitu gani nifanye baada ya yeye kukubali kuwa Muslim? Assalam aleykhum!
Nilikua naomba unisaidie jinsi ya kunuia swala ya usiku ile ya haja