Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 882
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nataka kuuliza historia ya uislamu baada ya kutawafu mtume ni mada ya form ngapi
Mm na tanataka kujenga nyumba kama ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam ❤️. Je nitapataje ramani ya nyumba ya mtume Muhammad swalallahu aley wasalam
Aslm alykum ,kunasuramaalum katikasala yadhuha? Na Dua yake tafadhali
Aslm alkm.Ni mitume gani walikuwa ni waarabu Kuna ambao ni wa Israel na waarabu
Assalam aleykum nilikuw nauliza je Kuna dua yyote ya kumsomea mait wakati wakumuosha??
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?