Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninailo tatizo la fangasi ya koo nifanyeje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 794
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilitumia contraception after sex baada ya twelve hours bt ninaona matone ya damu kidogo kidogo kunauwezekano nimepata mimba?
Je! Mimba ya week moja inaweza kuonekan kwa kutumia kipimo
Mm nmgonjwa wa fangasii za mdomoo na hii naamini kua nmepata kutokana na kutumia anti biotic kwa mda wa miezii miwilii ivo naisii kabsaa njia moja wapo ivo basii nmejalbuu kutumia dawa naona aviponii hii ya kupaka micor oral gel so nfanyajee
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Ikiwa naanza siku za hatari nakuwa na joto sana mpaka siku za period nyingne ya mwezi ujao hii inakuwa ni nn? Maaana naweza kuhis Nina mimba lakin hatima yake naingia period hii ni tatizo?
Habari naitwa Neema ninashida mate yamekuwa na ladha nyengine na maziwa yanauma na nimepima mimba Sina