Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninailo tatizo la fangasi ya koo nifanyeje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 794
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sawa naomba mnisaidie kunijibu maana namgojwa wa Hilo tatizo harafu hapati choo kubwa Leonisiku ya tatu
Naomba kuuliza jee kama nime jamiiana leo naweza kwenda kupima kesho ukimwi
Yaan vyakula vya protin nikila vinanizulu nifanyejee Yaan mwili unakosa nguvu kabisa
Ok mm shida yangu sehem ya uume Kama nikibinya yanatoka maji ambayo Kama usaaa lakin hayajafikia kwenye usaa
Nina wiki mbili hivi nimefanya mapenzi na rafiki ...nina hofu huenda aka ni mgonjwa
Nilingia period tarehe 16 mwezi wa 2 nikashiriki tendo la ndoa 3 je nnawezekano wa kua na mimba maan mpka Sasa sijaingia Tena period