SWALI

nina kizunguzungu nini tatizo maana siumwi kitu

Swali No. 417




JIBU

Kizunguzungu kinaweza kusababishwa na: -

1. Kupungua maji mwilini 

2. Presha ya damu kushuka ama kupanda zaidi

3. Mashambulizi ya virusi mwilini

4. Kupata woga juu ya jambo fulani

5. Majeraha kwneye kichwa. 

 

Kunaweza kuwa na sababu nyingine zaidi.  Jambo la msingi hapa ni kufanya vipimo kwanza endapo kizunguzungu kitakuwa ni endelevu. 

 



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 20-02-2023-06:14:35 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA