Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nilikua naomba unisaidie jinsi ya kunuia swala ya usiku ile ya haja
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 621
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilipilengo la swala kwa hoja ya quran na hadithi
Jee tunaweza kuangalia wasia anoacha mgonjwa mahututi aliouacha
Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?
Asalam aleykum,, samahan naomb kujua nini nifanye napokumbka marehemu
Jee mgawanyo wa dhakatul fitir ni sawa na mgawanyo wa dhakatul Mali kwa mbea nane?
Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn