Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 425
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Me nataka kujua wakati wa kutoa shahada unatamka maneno gani
Naswali jengine hili mfano umefanya mapenz tareh 30 halafu tareh 3 ukaingia kweny sk zako je pia unauwezekano wa kupata mimba
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn
mafua huchukua mda gani kupona
Kwa mfano huwa naingia tarehe 26 naingia ck tano than Nika sex tarehe 22 kunauwezekano wa kupata mimba
Mm nimjamzito wa miezi 6 kasoro lakini ninaahida napata maumivu ya nyonga,kiuno na uke unakuwa unavuta na maumivu