Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 425
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina mimba ya wezi na wiki mbili ila kuna siku napat iyo damu alafu inapotea aina shida kwangu??
Nilipata ajali nanilikuwa nimefungiwa cheni zakushikilia taya sasa zimetolewa lakini changamoto meno maumivu makali sana
Nauliza docter katika matunda haya yote pamoja na mbegu sijaona binzari manjano pamoja na mbegu za mastaferi kaziyake na mbegu za ukwaju ahsante sana docter kwa darasa lako mwenyezimungu atawalipa
Shida yangu je matiti yangu yananinyima Raha kabisa yaani sipendi kuvaa brazia kwa mda mrefu Ila kutokana na ukubwa wake inanilazimu nivae tu pindi navyoamka naomba Kama Kuna dawa ambayo inaweza kunisaidia bila madhara ,,sijaolewa bado Wala sijazaa
Assalam aleykum! Me nataka kujua jina kamili la mtume HUD (A. S.)
UTI inaweza sababisha kuishiw nguvu na kichefuchefu?