Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je!mtu mwenye ameathitika unaweza kulala nae
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 425
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kuwashwa ukeni ni dalili za mimba
Samahan nime nilifanya mapenz na mtu mwenye ukimwi ila nikawa nimemaliza massa 24 kabla sjafka kwenye kituo Cha afya baada ya apo ndo nikajua mwenza wangu nimdonjwa nikaenda wakanipa izo dawa za prepo
Nime maliza masaa 24 kabla ya kuchukuwa dawa izo za prepo ila wakanipatia ivyo ivyo naweza saidika apo naizo dawa doct baada ya kuzitumia
Kama nimeingia period trh 16 na kumaliz trh20 nikishirik tendon la ndoa trh27 au 28;29 nawez pata mimba
Sorry lkn mm sikuyahatari ilii kuwa tarehe 15 lkn nikalala na mwanaume tarehe 16 lakini mwanaume hakuweza kuingiza uume wake aka mwagia nje je Kuna uwezekano wa kupata mimba
Umri wng 24 me nilikuwa nataka unifahamishe jinsi ya kutumia kipimo cha upt
Je dalili ya tumbo kunguruma ni dalili za mimba