<p>Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso</p>
JIBU
Vyema apate uchunguzi wa daktari. Kuvimba kwa uso kunamahusiano na mambo mengi kiafya. Kwa mfano inaweza kuwa na matokeo ya matumizi ya baadhi ya madawa. Ama inaweza kuwa ni aleji ama shida nyingine za kiafya.