SWALI

Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso

Swali No. 412




JIBU

Vyema apate uchunguzi wa daktari. Kuvimba kwa uso kunamahusiano na mambo mengi kiafya. Kwa mfano inaweza kuwa na matokeo ya matumizi ya baadhi ya madawa. Ama inaweza kuwa ni aleji ama shida nyingine za kiafya.



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 19-02-2023-15:56:47 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA