Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 844
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kijiji chao nabii ibrahim kinaitwaje..? Na kilikua kikaliwa na watu gani.?
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti
Je mtu aliezidiwa akjitoa manii usiku wa Ramadhan je inakuaje?
Naomba kuliza Kama mke yupo mbali kumrejea mke alieachwa talaka moja kwa njia ya simu inafaa au haifai?
Hoja zinazotolewa na makafiri juu ya kukubalika kwahadithi