Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je vitameni E vinaweza kusaidia mwanaume asiyezalisha akaweza kuzalisha?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 573
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ila tarehe moja nikishirik tendo kabla mume wangu hajasafiri na ilitakiwa tarehe 18 mwezi huu nianze perio ila hadi leo sijapata period leo ni siku ya sita nimepitiliza
Nauliza kutokww na uchafu kama usaa na unaharufu mbaya baada yakumaliza period unaakaa kama wiki alafu ile hali inapotea
Ni njia zipi za kuboresha mbengu za kiume ili mwanamke aweze kupata mimba??
Namaswali machache Kuhusiana kushik mimba. Mimi niliingia period tarehe 4 mwez uliopita yaan December, n mwez wa11 pia niliingia hedhi tarehe 4. So maximum kua siku ya hatr n siku ya10 c ndio ambay n tareh13 na nimekutan n mmewangu siku za hatr kimwili, leo nimepima mimba Ila kimekuj kimstari kimoja, inamaanisha sina mimba au nimewahi kupima ujauzito?
Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure
Sijapata majibu Dr kucha hiyo kwa Sasa inawasha kwa ndani