Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujifuza jinsi ya kuoga janaba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1272
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mke wangu anatokwa na vitu vyeuope ukeni na me nipo mbali nae Sana nahitaji msaada wenu
Ikiwa mtu amevunjika mkono amewekwa muohogo pindi akitaka kuchukua udhu inakuaje
Asante kwa kutuerimisha na nikwa je mimba ya wiki moja unaweza ukapima na ikajulikana?
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Hello ukiwa umelala na mtu alafu condom ikapasuka gafla ukatoa apo kwa apo je unaeza athirika na ugonjwa
Maana Mimi mke wangu tarehe ya kujifungua iliyokadiriwa ni 11/3/2023 lakin naona saiz kama anadalili za uchungu anaumwa tumbo ,uchovu mwingi,mtoto anashuka chini,nk