Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujifuza jinsi ya kuoga janaba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1272
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niko na swali hapa nilitoa mimba na week mbili zimeisha na natokwa na discharge za white ukeni na sometimes nakuwa na hamu ya kufanya mapenzi n a inatoweka ghafla pia Niko na mawazo sana nikapima leo kipimo cha mkojo nikapa majibu mistari mbili moja iko clear na ya pili haiko clear hiyo inamaanisha nini
Nauliza Mimi nipo Zambia Kwa jina naitwa Kennedy kama umeathilika vipimo vinauwezo wa kusoma negative miezi sita
Je presha usababisha kuko joa mara kwa mara
Ivi kweli majivu hutoa mimba baada ya wiki moja
Napenda kuuliza kama kuna madhra yeyote kufanya mapenzi na mama anae nyonyesha
Je kama unahisi una mimba ya wiki moja alafu tumbo linakuwa linaunguruma mara kwa mara je ni dalili za mimba na kukosa aman ya moyo