Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kujifuza jinsi ya kuoga janaba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1272
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kaka mm nimewahi kupata ajali nikabamiza kichwa nikawahi kupona lakini nilivy pona mdomo ukaanza kupasuka mwaka umefika tangu nipate ajali hiyo nilitokwa na damu nyingi sana nikapugua uzito
Samahani kwa usumbufu naomba tu kuuliza au kupata ushauri kutoka kwenu, Mimi ni mjamzito ninaujauzito wa miezi 3 sasa lakini nimeamka asubui kwenda kukoga nikakuta chupi imechafuka pasipo maumivu ya aina yoyote Yale Ila imetoka kidogo tu Je, hii inakuaje inakua hivi au nifanyaje ili hali hii isiendelee? Maumivu yoyote sisikii kabisaa niko vizuri
Me moyo unaendag mbio halaf kooni nakuwa kama kuna kitu kimeban mpk kweny kifua
Kuonyesha kwamba mwanamke ana mimba matone ya damu hutoka sku ngapi?
Hello Mimi nasumbuliwa Kila nikimaliza tendo uume unauma sana
Je nisahihi mtu mwenye vidonda cya tumbo kula mboga za majani