Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kuyua njinzi ya kulinda afya yangu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 495
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Me sahv nina miezi miwili na week 2 toka nijifunguwe mwishonib mwa mwez wa tatu nilikutan kimwil na mume wangu nilimeza kun dawa nilipew ya uzaz wa mpengo ni nyeupe niliambiw nimeze kil cku nilimeza zile cku tu nilizokutan na mume wangu tarh 10 mwez huu niliingia period na ilitoka kwa cku mmoja tu na sijasex tena toka cku nilivyoblleed je kuna uwezekano wa kuwa na mimba???
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28.nina tatizo la kutokwa na maji mengi ukeni muda ninapojamiiana hasa pale ninapokuwa nafika kileleni.yale maji Huwa yananikosesha Raha sana maana mpaka pale nilipolala panaloana .je tatizo hili husababishwa na Nini?
Nina maumivu tumbo la chini ya kuelekea upande wa kushoto ,maumivu tumbo la juu karibu na kifua ,maumivu pingili za mgongo na kiuno pia mbavu jinsi yangu ni Ke miaka 44
Ivi mafua ya mara Kwa mara, kuhisi uchovu, na kukosa hamu ya kula ni dalili za UKIMWI??
Habari mimi naomba kuuliza nikila chakula tumbo linachafuka, muda ule naanza kuharisha
Habari me nashwali kama unayo PID unaweza kupata ujauzito na ukajifungua Salam