Pata jibu kamili kuhusu swali lako
mafua huchukua mda gani kupona
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 72
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?
Habar, mimi nina swali je mtu anaweza kufanyiwa operation ya tez dune na ugonjwa ukajirudia tena?
Assalam Alyqum Warahmatullah Wabarakatu...
Nimepitia kitabu chenu kimojawapo nikakutana na Vipengele vingi tu lakin kimojawapo n cha STARA kwa Mwanamke.kuwa ajifunike mwili mzima kasoro USO na VIGANJA..
Swali langu..Je kwa Wanawake wanaovaa Madera au Vijora nguo hizo huku mikononi huishia nusu mkono.nao watakuwa njee ya STARA au itakuaje na nini kifanyike.??? Asanten👏🏿
Nataman kujua vipi kipimo cha ukimwi kinaweza kusoma majibu kwa miez miwili na kuonekana?
Ninasumbuliw na fangas na nikatumia dawa ya mba ya maji ila tatizo likaendelea nikamwona mshauli wa afya akanipa vidong kumi na nimetumia ila bado hali niayo tyu vile vile naomba ushaulo kwako
Kwamfano umejamiiana na mtu wiki iliyopita unatakiwa ukae kwa muda gan ili ukapime