Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujua ipo tiba ya uvimbe kwenye. Kibofu?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 499
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habar Dr. Mimi ninaujauzto wa wiki16 ndo wa kwanza lkn nahis kichezo tumboni unaweza nijuza hili
Samahani nikisha jihisi kuwa ninamimba changa je naweza kutumia dawa ya kuzuia kuharisha plees naomba kujuwa
Doctor habari Mimi Nina darili zote za mimba lkn Jana nimepima kwenye (upt) ukachora msitari mmoja alaf ni mstari nusu Shida ni nn
Naomba kuuliza mwezi wa 2 trh 14 nili sex na mtu mwenye ukimwi trh 15 nikaenda hospital nikapewa pepu nimetumia pepu na Leo ni siku ya mwisho nimalize dozi ila toka juzi Kuna dalili zinajitokeza Kama homa kichwa kuuma maumivu kwenye Koo samahani naweza nikawa nimeasilika
Habar docta samahani eti kwa mfano mtu akiwa yupo kwenye dawa ya pep ya kuzuia maambukizi ya ukimwi ata ikitokea amejichoma tena kwenye mazingira atarishi pia inazuia kwasabu unakua ushameza dawa na zipo anaendelea kumeza.
uwashwa mwili na kutoa mapele manene, kukosa hamu ya kula na kuhisi maumivu ya tumbo ni dalili ya aina ipi ya minyoo na dawa gani itumike?