Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba nielekezwe ikhfau Shafawiya katka hukumu za kusoma Quran
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 607
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je inafaa kutoa talaka mbili kwa mkupuo mmoja?
Naam swali langu nihili Ili ionekane kama umezini nidalili zipi zinakujuza kama umezini?
Assalaam alaykum...mimi nauliza endapo mmeshazaa mtoto na we mwanamke ukadai talaka je mwanaume ana haki ya kudai mahari yake ingawa umeshazaa nae?
Ninapo fanyia kazi niwa kristu mana nyumba nzima ime zunguukwa na misalaba na biblia je inaswihi kuswali katika nyumba hiyo
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
Napenda kuuliza swali.nimambogani yanaweza yanaweza kuzuia Dua zako kwa ALLAH subahanah wataala