Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba nielekezwe ikhfau Shafawiya katka hukumu za kusoma Quran
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 607
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali juu ya swala ya tarawh unaweza kuswal baada tu ya insha
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
Je? Kwa mtu ambaye amevunja kiapo anatakiwa kuwalisha maskini kumi chakula cha katikati anachowalisha watu wa nyumbani kwenu. Sasa swali langu chakula cha katikati kiasi gani na anatakiwa apeleke kwa muda gani?
asalam aleykum samah naomba kuuliza,endapo nimemkuta imamu anaswalisha ile nimefika tu akarukuu na mimi nikarukuu je nitaesabika niko nae sawa kama ni swala ya adhuhuri.
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Ni ipi Tofuti kati ya kusimamisha swala na kuswali