Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Me naumwa skio nimeweka dawa skion je nimefungulia
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1040
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh, samahan maalim naomba kuuliza yakuwa vipi ikiwa mwanaume umezaa mtoto ambaye ni nje ya ndoa je ni nn haki ya mtoto kwako au ni wajibu upi u atakuwa nao mzazi huyo katika malez ya mtoto huyo
Assalaam aleykum warahmatullah wabarakat..nilikua naulizia hivi zakatul fitr inafaa kutolewa kwa wakristo??
Aslm alykum naombakuuliza,Kam mine ana wake 2 ikitokea mwenyezamu hayupo keep mine anahaki ya kulala kwa Yule asiyekua zamu yake
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
Hatua za kuondosha maovu katika jamii
Je kwan maiti ya mtoto ambaye hajabarehe wakike ukimxhonea sanda kama ya mwanamke aliye barehe ni vibaya?