Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 95
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je kama mwanangu ananitolea zakat fitri na Mimi itanilazimu tena kujitolea mwenyewe?
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Sababu zinazopelekea kutofikia lengo la zakka na sadaka
Eda kwa mwanamke aliyeachwa yaani mwanamke anapoachila katika eda yake anafata vigezo gani?
Kama upo kwenye safi Au mstari wa katikati utatokaje ?kwenye safi na watu wana swala?
Naomba nifundishwe jinsi yakunuwia swala ya ijumaa