Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 95
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mke wangu aliingia siku zake tar 13 mwezi huu,amemaliza tar 17 msaada ni ipi siku ya kushika ujauzito? Ahsante.
je ni dua ipi imependekezwa zaidi katika swala hii ya tahajjud
Katika mitume 25 walopewa ilmu na hikma ni wangapi na ni akina nani? Wabillahi taufiq
Watu wengi wanasema wakisoma Qur'an sawa ameongea kiarabu swali langu ni kwamba kuna tofauti yoyote kati ya kiarabu na Qur'an au hakuna tofauti
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?