Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Sababu za kuwa mwana adamu hawez kuishi bila ya dini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 95
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Naomba kujua tofauti kati y hadithi qudsi na hadithi nabawiy
Assalamualaikum napenda kuhuliza kwenda kwa mganga kuchukua dawa ambayo sio ya kumzulu mtu niya matibabu tu je ni sawa
Naomba kama app inaweza kunipa mawaidha ya audio niambieni Barakallahu fikum
Asalam aleykum warahmatullah,samahn naomba kuulizaa je nilazimaa kusomaa Ile Dua katik swalt subh baada ya kutoka kuruu ukiwa kwey itidali?
Je inaruhusiwaa kuswali ikiwa kuna baadhi ya dua ambazo yapaswa kuzitumia ndani ya swala na haujazikaririi vizurii
Je? Unaswaumu halafu umezaa nje mtoto mama kaomba hela unaruhusiwa kuto?