Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je ukimwi inaambukizwa kwa mate?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1069
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari napenda kuuliza jinsi ya kutengeneza mafuta ya zaituni na faida ya kula matunda yake
Ni nini kinachosababisha upungufu wa damu?
Nina umri wa miaka 19 jinsia wa kiume ninatatizo la kuwashwa kwenye korodani na ninatokwa na vipele baada ya kujikuna mbaka leo hii ninasiku ya 6 na tatzo hili n mala ya kwanza kunitokea naomba msaada
Tatizo la kutokwa na maji maji mepesi meupe yasiyo na harufu ukeni kama maziwa ni dalili ya ugonjwa gani?
Aje kama mtu ammetoka tu mapele kwenye mikono na ana kikooz anaweza kuwa na ukimwi
Minmi nikila tu kitu kidogo tumbo linajaa Kama he's yaan inanichukua muda kweli tumbo limevimbiana na Hilo Ni tatizo gani