Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je ukimwi inaambukizwa kwa mate?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1069
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn
Swal Lang mm tumbo linakuw kubwa ,linauma ninahs kichefuchef lkn sitapik ,kinyes kinakiw na utelez na kutokw na dam baad ya kumlz kujisaidia ,na pia nikimlz kujisaidia nikam kweny haj kubw naanza kuhs km kun vit vinatembea .je haw watakuw ni minyoo ain gan na daw gan nitumie ili niweze Pon kwa harak,umri miak 26 jinsia kike
kuna muda uume unalegea kwenye tendo.. na sanyingine inanitokea tuu unalegea kabla hata sijaanza
mm najaribu kufanya sex kwenye siku hatari lakn Mtu wangu hashiki mimba mpk saiv Nina miezi Tano tunatafuta mimba lakn Hamna. Na pia Kwa Upande wangu naona manii ni nyepesi sio Kama zinazohitajika . Nini suluhisho lake mkuu
Joto la mwili limeongezeka na mapigo ya moyo pia je ni mimba?
Nilifany mapenz nikiwa kweny siku Salam je hiyo ni sababu ambayo imefany nivuruge mzunguko Wang wa hedhi ni siku ya pili sasa sijaon siku zang