Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Aslm alykum ,kunasuramaalum katikasala yadhuha? Na Dua yake tafadhali
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 402
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
asalam aleykum samah naomba kuuliza,endapo nimemkuta imamu anaswalisha ile nimefika tu akarukuu na mimi nikarukuu je nitaesabika niko nae sawa kama ni swala ya adhuhuri.
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Mimi ni mwanaume na ninamiaka 32 naomba kujua maneno ya kikao cha tahyatu
Kifo cha bi khadija kilitokana na nini
Assaalaam Alykum,
Mimi nataka kujua jinsi ya manuwiz ya swala ya eid, ahsantee
Mimi nina mchumba wangu lakini nimezaa mtoto mmoja sasa tulikuwa tunataka tufunge ndoa kabla ya ramadan lakin ikashindika sasa je inaswihi kufunga ndoa wakati wa ramadhani