Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mtoto wa miaka 2 akinyonya hutapika
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 112
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari za wakati huu, mimi nakuwa na mate mengi mdomoni,hii inaelekea mwezi sasa,cjui shida ni nini?
Vitu gani havitakiwi kuvifanya wakati wa kutoa huduma ya kwanza kwa mtu anayetoka damu puani.?
Habari za kazi Mimi ninamtoto mchanga wa miezi miwili anasumbuliwa na maumivu ya tumbo na anagoma kunyonya ziwa la mama, je nifanyaje
Hbr ya majukumu mpendwa naitaji kupata elimu zaidi ju ya faida za matunda na mbgambga
Hello Nimesoma makala ya faida za njegere mwilini ila ninaswali Ili kufaidi virutubisho na madini yanayopatikana kwenye njegere inapaswa kuandaliwaje
Nina umri wa miaka 21 ni mwanamke,yan nikwamb mm nlishirik tendo juz ya tareh18 mwez huu na nilikua bikra wakt nafany tendo hilo skutok damu na kesho yake nkaanz kuona vijidam kwenye nguo ya dan na hali hio iliendelea siku nne, ila sas sjaona siku zangu mpk ss na nilitakiw siku nizione kwanzia io tareh20 mwez huu.sas swal nikwamba nina mimba ama vipi man hii nisiku ya sita mpaka sas sijaingia period na siku hiyo ya tendo sikuwa siku za hatar