Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm swali langu siku zangu ninakuja kwa mwezi mala tatu au mala nine
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 875
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Smhn ugonjwa wa ukimwi unawez kuambukizwa kutkn na mate
Mkewang anatatiz lakuumiya san tumbo na sehem yasir nazaid tukifanya mapenz napiya anamimba bd changa
Habari ya asubuhi? Nimesoma dondoo yako. Swali langu.. Huwo ugonjwa wa kikohozi na mafua ikiwa yanasumbua kwa mda mrefu yapata miezi mi wili. Je, ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa ukimwi?
Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?
Habari Mimi nasumbuliwa na ganzi kwenye kiganja Cha mkono wa kulia muda mwingine mkono unachoka kabisa sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini
Asante sana kwa maelekezo mazuri ntaendelea kuwafatilia nmejua Mambo mengi sana nami nkiwa mhanga wa tatizo hili