Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm nauliza sual kwann baada ya mtume Muhammad hakuletwa mtume mwengine
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 949
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji
Jee nduguzake na Nabii YUSUFU walikua na mama mmoja au kila nduguye na mamake?
Eda ya mwanamke aliyeachwa ni tohara 3, Eda ya mwanamke mjamzito ni mpaka atakapojifungua, Eda ya mwanamke aliyefiwa ni miezi 4 na siku 10, Jee mwanamke aliyefiwa na mumewe huku akiwa na ujauzito itakuaje eda yake?
Je inaruhusiwaa kuswali ikiwa kuna baadhi ya dua ambazo yapaswa kuzitumia ndani ya swala na haujazikaririi vizurii
Nilikuwa naomba kijuwa uwo utawala wa banu umayyah ulikuaj hadi kuondoka kwake
Aslm alykum ,kunasuramaalum katikasala yadhuha? Na Dua yake tafadhali