Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm nauliza sual kwann baada ya mtume Muhammad hakuletwa mtume mwengine
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 949
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kusuka nywele zauzi ukaunganisha kichwani nimakosa au simakosa
Je mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia je kama ukiwa umefunga afu bado upo unafanya kazi iyo ya riba je funga itakuwa salama
Je wakati unatubia unaomba msamaha kwa mola wako wakati upo katikati ya swala ama baada ya kumaliza
Je kwa mfano mtu umekuangukia mkojo kwenyw nguo na unataak kwenda kuswali Nini unatakiwa kufanya
Swallat tahajjud ina rakaa ngapi?
Asalaam alaykum? Shekhe naomba unisaidie khutuba ya ijumaa kwa kiswahili, maana nipo kijijini. Siku moja ilitokea kuswali adhukhuri kwa sababu imamu alikua anaumwa, na hii itasaidia kwa dharula Kama hizi.