Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 753
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Toa hoja nane za kuonyesha jinsi Mtume alivyo andaliwa ki ilham na kimafunzo .
Nna umri wa miaka 32 jinsia yangu ni Mwanamke, nilikua nauliza ni haram kunyoa nywele kwa kizuka siku ya 40 baada ya kufiwa
Au mpaka inapofikia miezi 4 na siku 10 ndio anyoe ?
Swali langu ni... Tunafahamu kuwa mtu anapotaka kuoa,lazima awe na mashahidi wke wawili. Sa nauliza hawa mashahidi inaruhusika mtu kueka brother wake ama ni awe mtu mwenye hawahusiani naye...?
Naomba kufaham historia ya imamu shafii na kitabu chake cha usul al-figh
Je kuswali Hali ya kuwa nguo imevuka ugoko ni saw
Jee tunaweza kuangalia wasia anoacha mgonjwa mahututi aliouacha