Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Assalam alaykum nauliza eda ya khulu Ni muda gani? Na wanaweza kuregeana?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 753
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani sheikh wangu nilikuw naomba kujua swalat haja huwa inaswaliwa wkt gani na ina rakaa Ngap?
Nimeona darsa kidogo juu ya suala la talaka.swali langu ni je??..kama umempa talaka moja mkeo bila ya mashahidi waadilifu.je kuna tatizo katika uhalali wake??
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ushindi gani waliupata waislamu kwenye mkataba wa hudaybia
Asalam aleykum nauliza kwamba uko ndani ya ndoa ila umesahau kukoga janaba unaluhusiwa kufunga
Je inafaa kuchoma sindano wakati umo kwenye funga?