Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kueleza wasifu wa malaika
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 131
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwan mbon wanasema kusom dua kabr yakumuswalia Mtume nakabr yakutoa slm nidua gan nakuomb nisayidie
Napenda kuelewa kuhusu mke Kam nimeishi nae mwezi 1. Na kupeana taraka Mali tutagawanaje au hakuna Cha kugawana
Fafanua chimbuko na asili ya mwadamu kwa mtazamu wa kiislamu na usio wa kiislamu, nisaidie
Asalam ALEYKUM,,,Ninahoji kitu ki1" " ktk mawaidha flani ,shekh alitoa namna ya kuoga,(Janabah) shekh asema nivizuri ukaanza na kutawadha kwanza ndipo uonge,,Sasa iweje nianze na kutawadha Ndipo nioge,AMA kuna namna sijamwelewa,kwasbb sasa kila 1 awa Mtoa mawaidha kadri anavyojua yeye, asante,,Asalam
Mimi nina mtoto wangu wa kiislam, lakini kapata mchumba wa ki kirsto, je naruhusiwa kula Mahari yake? Naomba msaada huo
Je unaruhusiwa kulala na mke endapo hujaanza kukaa itiqaf ya masiku kumi haya ya mwisho? Ijapokuwa yameshafika ila cjaanza kukaa itiqafu.