Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mama mjamzito akishajifungua hurudi katika hali ya kawaida
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 738
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm natokwa na uchafu mweupe mzito nasijisi km Nina mimba shida itakuwa Nini daktari
Samahan naomba kujua wakat wa kukojoa matone ya mwanzo yanatoka na usaa kidogo hii Ni dalili ya ugonjwa gani?
je inaweza kutokezea tumbo kuja juu upande mmoja t halafu kurudi ukawaida ndani ya wiki 1 vip inaweza kutokea au huwa ges yatumbo t
Mimi nna tatizo la Ngozi kuwasha na nnapojikuna mahali panapo washa Panatoka uvimbe mdogo mdgo Kisha baada ya Muda mfupi kupotea Nazo Ni dalili za minyoo!?
Je, mtu anaweza pata ujauzito akishiriki tendo siku ya 11 katika mzunguko wake,, na dalili za ujauzito zinaonekana kwa muda gani baada ya kushiriki tendo?? na kutokwa na uteute wenye rangi nyeupe mzito unaweza kuwa dalili ya ujauzito??.
Kuruka kwa tarehe ya hethi inaweza sababisha kuto kushika mimba