Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mwenye hupungufu wa. Vitamin e. Hujiskiaje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 640
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nilikuwa natumia uzazi wa mpango baada ya mwaka mmoja nikatoa na baada ya kutoa nikapata hedhi siku 5 na baada ya wiki moja nikakutana na mwanaume unaweza ukapata ujauzito?
Jabari Doctor Mimi nimeona hedging Tarehe 13/2 an 14/2 Lakini ilikuwa siielewe ilikuwa imetoka sio nyingi na pia ilikuwa inarangi Kama unsenda kwenye Weusi, pia chuchu zangu nikikamua zinatoka Maziwa nimejaribu kupima nyumbani kipimo kinasema negative ina mstari ujakolea wekundu unaonyesha Kama niliyoona kwenye period
Je Kama unaskia muwasho tu sehm za sir nayenyew n dalili za ukwimw
Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure
Baada ya kumwaga sperms ndani ya uke MTU afaa kusimamisha kwa dakika ngapi
mimi naona navidonda vya tumbo ila mbna mwili unaniwasha na kutoka vipele mwilin pamoja na mugongo kuuma naomb msada wako