Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???
Inaweza kuwa ni athari za hiyo dawa ndio zinapelekea kichefuchefu. Na hii hutokea kwa sababu kuna mabadiliko ya homoni yametokea.