Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwa mwenye ukimwi vipele ni lazima kutokea kwenye ulimi na mdomon kwa pamoja
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1285
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.
Kuna dalili naziona kama kichwa kuuma japo akiumi sana na sijiskii homa na kichwa kinauma upande mmoja wa kushoto na ni miez miwili sasa nimedate na mtu ambae simuamini je naweza kua nimepata maambukizi 😢doct
Je kupataaa naumivu mkali wakati wa kukojoa na pia wakati wa tendo hiloo ni tatizoo gani pls
Asante mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16 but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi
Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama
[2/Sorry doctor nna maswal mengi coz nlijua cku ya kumi ni safe
Na implantation bleeding ni lazima kutokea na inatokea kwa mimba yenye mda gani
Asante Kwa kutuelimisha juu ya ugonjwa wa u.t.i, je vyoo vya kukaa vinaweza kuambukiza u.t.i?